MRADI WA DUKA LA MBOLEA NA VIUATILIFU

  • Mradi huu ni kuuza mbolea za ruzuku pamoja na viuatilifu(madawa)

  • KYECU LTD imeamua kumrahisishia mkulima upatikanaji wa mbolea za ruzuku pamoja na viuatilifu

  • Duka linapatikana maeneo ya Kyela mjini katika eneo la KYECU LTD jirani na hospitali ya Kyela-MBEYA

  • Mbolea inauzwa kwa bei ya Sh. 76,000/= Mkulima anatakiwa kuja dukani na namba ya ruzuku kuna(YARA VITA na YARA AMIDAS).

  • Pia tunauza Viuatilifu kwa bei nafuu sana
    mfano:

    1. Round Up
    2. RILO
    3. Parae force
    4. Ground force
    5. Agri force